#TUNAVUKA MIPAKA Huyu ni moja kati ya Model ambao ni HOT sasa hivi (Dunia Nzima)...Tofauti wa wa hapa kwetu Helen Deneen ni msomi LEVO YA MASTAZI kutoka katika Chuo kikuu cha Howard, Marekani. |
Kama ilivyo kwa ma model wengine huyu naye anajishughurisha maswala ya UIGIZAJI, UPIGAJI PICHA ZA MATANGAZO,MAGAZENE ...Jionee baadhi ya picha zake hapa....Then funguka nikufanikishie huu mchongo...hehehehe
Post a Comment