Featured
Loading...

MTU MMOJA APIGWA RISASI, AKIJARIBU KUDHIBITI MAJAMBAZI HUKO ARUSHA


http://theclicktz.com/
Mauji ya kutisha yametokea Arusha asubuhi hii baada ya majambazi kumpiga risasi mtu mmoja aliyekuwa akimsadia mwanamke mmoja aliyekuwa anaingia Northern Bureaude Change na mfuko wa hela , Jamaa inasemekana ni mpita njia aliyekuwa anaenda kanisani baada ya kuona majambazi wanamvamia Mwanamke aliamua kumsaidia na jambazi mmoja aliyekuwa kwenye pikipiki aina ya Boxer akampiga risasi na kutokomea na hela.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright entertainment | Designed By Code Nirvana
Back To Top