Jamani wapendwa,hasa kwa wanaume,nawaomba muweze ku kontroo hasira zenu,huyu dada aliuawa kikatili na mume wake kwa kile kilichodaiwa ni wivu wa kimapenzi,naomba WASOMAJI wetu usipite bila dua au kulaani vitendo vya ukatili kwa wanawake,2pia dua ya kumuombea marehemu,anai2a silvia.
Post a Comment