Featured
Loading...

WEMA AMKOMALIA DIAMOND NA YEYE AWEPO KWENYE TUZO ZA BET

WEMA AMKOMALIA DIAMOND NA YEYE AWEPO KWENYE TUZO ZA BET

Madame Wema Sepetu ameonesha kuwa na kiwaluwalu cha safari ya kwenda Marekani kwenye tuzo za BET ambazo mpenzi wake Diamond ni miongoni mwa wanamusiki kutoka Afrika walioteuliwa kushindania tuzo hizo kwa mwaka 2014,zitakazofanyika tarehe 29 mwezi ujao.....
Kiwaluwalu hicho amekionyesha hapo jana kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM...baada ya kuweka picha ya

ndungu zake walioko Marekani na kusema amewakumbuka sana ila hivi karibuni wataonana kwani tuzo za BET zimekaribia. ISHU NZIMA You two are reeeeeaaaally missed... But BET is jus around da corner... Ama see you guys soon... I love you dada

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright entertainment | Designed By Code Nirvana
Back To Top