Featured
Loading...

ONA MADHARA YA.......

TAFADHARI MSINIONEE KINYAA HUU ULIMI NI WA BINADAMU MWENZENU MWENYE MATESO MAKUBWA.

Habari zenu wa ungwana? naitwa JONATHAN MSANGI nipo hospital ya ocean road yapata miaka 7 sasa lakini kwangu ni kama miaka elfu sabini kwani mateso ninayo yapata naomba hata leo iwe zamu yangu ya kutangulia mbele za haki, Kinacho nisumbua mimi ni ugonjwa wa kansa kama unavyo ona ulimi wangu hapo chini samahani kama nimekutia kinyaa ila kumbuka mimi ni bina damu mwenzako na kabla hujafa hujaumbika na hujui umepangiwa nini hapa duniani, mimi binafsi nilikua mzima wa afya ila tangu niugue ugonjwa huu wa kansa sasa ni mwaka wa 7 nakula chakula kwa mirija kwani ulimi wangu na kinywa vimeharibika sana ni mateso makubwa ninayo yapata ila napigagoti mbele za Mungu na mbele zenu mimi pekeangu nishaomba sana kwa m/Mungu bila mafanikio yoyote,

Photo: TAFADHARI MSINIONEE KINYAA HUU ULIMI NI WA BINADAMU MWENZENU MWENYE MATESO MAKUBWA.  Habari zenu wa ungwana? naitwa JONATHAN MSANGI nipo hospital ya ocean road yapata miaka 7 sasa lakini kwangu ni kama miaka elfu sabini kwani mateso ninayo yapata naomba hata leo iwe zamu yangu ya kutangulia mbele za haki, Kinacho nisumbua mimi ni ugonjwa wa kansa kama unavyo ona ulimi wangu hapo chini samahani kama nimekutia kinyaa ila kumbuka mimi ni bina damu mwenzako na kabla hujafa hujaumbika na hujui umepangiwa nini hapa duniani, mimi binafsi nilikua mzima wa afya ila tangu niugue ugonjwa huu wa kansa sasa ni mwaka wa 7 nakula chakula kwa mirija kwani ulimi wangu na kinywa vimeharibika sana ni mateso makubwa ninayo yapata ila napigagoti mbele za Mungu na mbele zenu mimi pekeangu nishaomba sana kwa m/Mungu bila mafanikio yoyote,  SASA NAWAOMBA NDUGU ZANGUNI MPOTEZE HATA DAKIKA 3 MNIOMBEE MIMI JONATHAN KWANI NAHISI MWILI WANGU UPO MOTONI UNAIVA KWA MAAUMIVU NINAYO YAPATA USIKU NA MCHANA.  DAA ADMIN NIMELIA SANA NILIVYO IKUTA HII SMS INBOX TAFADHARI ANDIKA NENO "AMEEN" TUMUOMBE MUNGU AMPONYE NDUGU YETU JONATHAN, TAFADHARI USIPUUZE.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright entertainment | Designed By Code Nirvana
Back To Top