Hitmaker wa Mathematics Roma Mkatoliki ametmiza ahadi yake ya kwenda kufanya wimbo katika studio za Sharobaro Records chini ya producer Bob Junior aliyoweka wakati wa kombe la dunia kama Brazil ingefungwa na Ujerumani. Katika studio hiyo, Roma amerekodi wimbo uitwao ‘Maumivu’.
Bob Junior amesema amefurahishwa na uamuzi wa Roma wa kumuamini na kuanza kufanya kazi hiyo ambayo itatoka wiki ijayo.
amesema Bob Junior.
Post a Comment